UZOAJI TAKA MANISPAA YA TABORA

| No comment yet
MANISPAA YA TABORA ILIKUWA IMEKUMBWA NA UCHAFU WA KUTOSHA KUTOKANA NA AGIZO LA MKUU WA MKOA BI FATMA MWASA LA KUHAKIKISHA USAFI UNAFANYIKA KILA JUMAMOSI, MKUU WA WILAYA YA TABORA MJINI BW MOSHI MUSSA CHANG'A ALIAGIZA HATUA ZICHUKULIWE MARA MOJA KUZOA TAKA HIZO, HAPA NI CATURPIRA LIKIPAKIA UCHAFU KATIKA KONTEINA ILI ZIKATUPWE. picha na simon kabendera Tabora.

maji

| No comment yet
Pamoja na TUWASA kuboresha huduma bado kuna wateja ambao siyo waaminifu kama inavyonekana katika picha .

Mamlaka ya maji mjini tabora imetangaza vita na wezi wa maji na wateja ambao bado hajalipa huduma hiyo paja na kukatiwa.

Meneja biashara wa mamlaka hiyo Bernad Biswalo ameyasema hayo leo alipokuwa akiongea na waandishi wa habari mjini Tabora baada malaka hiyo kupata hasara ya shilingi blioni 1,15904,232 zinzotokana na watumiaji wamaji kujilimbikizia bila kulipa.

 Amesema kutoka na deni hilo mamlaka imekuwa inashindwa kutoa huduma hizo kwa ubora kutokana mamlaka kujiendesha bila kutegemea ruzku kutoka serekalini.

Amesema jamboalingine linalokwamisha ufanisi ni wizi wa miundo mbinu ambao unafannywa na wafanyabiashara wa vyuma chakavu na tayari mamlaka imejipanga kkupambana nao.
 Habari na piccha Victor Kinambile.http://www.mjengwaglobspot.com/ michuziglobspot.com

MAJI

| No comment yet
Na Vctor Kinambile

Wakazi wa mji wa Tabora wataanza kupa huduma bora ya maji baada ya kufungwa kwa mtambo mpya ambao unarajiwa kuwasili siku yeyote kunzia sasa.

Akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa tuwasa meneja biashara wa mamlaka hiyo Bernad BIswalo,alisema kwamba kwa muda mrefu wakazi wa manispaa Tabora  wamekuwakipata huduma kwa kusua sua .
Alisema kwamba kusua sua huko kulitokana na mitambo ambaoyo inasababisha usukumaji wa maji kutoka katika bwawa na kuwasambazia wateja kuungua,.

Kuungua kwa mashine hizo kulisababisha huduma ya maji katika mji kusimama kwa muda wa wiki sasa hivyo kuingia kwa mtambo huo utasaidia urejeshwaji wa maji katika hali ya kawaida

Alisema mamlaka imejiagiza mita 5000 ili kuwafungia wateja 2000 ambao walikuwa hawana mita najingine zitafungwa kwa wateja ambao walikuwa na mita lakini kwa makusudi wakaziharibu.

Mita ambazo zitafungiwa wateja ni za plastiki ambazo mamlaka imeziagiza ili kuweza kupambana na wafanya biashara vyuma chakavu ambao wamekuwa wakiharibu miundo mbinu ya mamlaka.http://www.mjengwaglob.com/

maji

| No comment yet
Baada ya kutoa maji katika bwawa ,maji hayo hupitia hapa katika chujio ambapo yasafishwa ilikweza kusambazwa kwa watumiaji yakiwa safi na salama chujio hili  lina uwezo wa kuchukua ujazo wa 15mm kwa siku. 

histori

| No comment yet
Hili ni bwawa la igombe ambalo limejengwa mwaka 1956 na kuanza kutumika mwaka 1958 linaujazo wa maji 41mm  maji bwawa hili kwa sasa linahudumia wakazi wa manispaa ya Tabora

STORY

| No comment yet
Na Elisante Mkumbo na Victor Kinambile
Ili kuweza kuongeza mapato yatokananyo na utalii ,serekali imeombwa kuangalia uwezekano wa kuyafanyia matengenezo na kuya tangaza makumbusho mbalimbali nchini ili kuweza kuwavutia watalii waweze kufika kwa wingi.
Hayo yamesemwa na waandishi wa habari wa mikoa ya Singida na Tabora wakati walipotembelea makumbusho ya Tembe la David Livingston na nyumba ya mtemi Fundikira ambayo yapo mkoani Tabora wakiwa katika mafunzo ya siku nne juu ya uandishi wa mtandaao
Waandishi hao waligundua kusaulika kwa Tembe ambalo lilitumika kuwahifadhi watumwa kwaajili ya kuwasafirisha kwenda Bwagamoyo ambako walikuwa wakisafirishwa kwa mashuwa kwenda Zanziba hatimaye bara la Asia
Tembe hilo mwanzoni lilikandikwa kwa udogo juu ya paa lake na kuonyesha uhalisi ambapo liliwavutia watalii waliofika enzi hizo mpaka Wajerumani waliamua kulinunua kwa Rupia miamoja hamsini na kulihifadhi hadi walipojenga makao ya mkuu Kazahill (Tabora).
Kivutio kingine kilicho saulika na Wizara ya maliasi na utalii katika mji wa Tabora ni Jiwe lenye Ngoma, Bao,makalio na nyayo za watu wa kale.
Jiwe hilo ambalo lipo kando ya ngome ya mtemi Fundikira ambalo viongozi wengi wa serekali na mkoa wa mkoa wa Tabora wamekuwa wakipita na kuyaona bila kuya fayania matengenezo ambayo yangeweza kuwavutia watalii.

mwisho 

                                         Haya ni majengo ambayo yamesaulika kufanyiwa matengenezo

TEMBE LA DR. LIVINGSTONE LAKUMBWA NA MATATIZO

| No comment yet

Picha 1

| No comment yet
Mhifadhi msaidizi wa makumbusho ya Tembe la Dk. Livingstone lililopo Kwihara katika manispaa ya Tabora bw. Hamis Mohammed Kalok akitoa maelezo kwa waandishi wa habari waliozulu katika makumbusho hayo wakiwa katika mafunzo maalumu ya mtandao-Picha na Simon Kabendera.

Makumbusho ya kale, Kwihara

| No comment yet
Elisante John na Simon Kabendera, Tabora
Januari 26,2012.

 

Mhifadhi msaidizi mwangalizi eneo la Kwihara, bw. Hamia Mohammed Kaloka,akiwaonyesha waandishi sehemu ya magazeti ya kale yaliyohifadhiwa kwenye tembe la Dk. Livingstone.

 

Waandishi wa habari kutoka mikoa ya Singida na Tabora waliohudhuria mafunzo ya siku nne juu ya uandishi kwa njia ya mtandao, wakishuhudia kaburi la mwandishi John Shaw, aliyefariki dunia Mwaka 1871, wakati anamtafuta Dk. Livingstone.


WAANDISHI wa habari, wametakiwa kuyatangaza kikamilifu
maeneo mbalimbali ya makumbusho Mkoani Tabora, ili yawe kivutio ndani
na nje ya nchi na hivyo kuongeza pato la Mkoa na Taifa kwa ujumla.

Mkurugenzi wa Muungano wa vilabu vya habari nchini (UTPC), Abubakar
Karsan, alisema hayo, kwenye ziara ya mafunzo ya wanahabari wa mikoa
ya Singida na Tabora, waliozulu  tembe la Dk. Livingstone na makazi ya
mtemi Fundikira, yaliyopo Kwihara,Mjini Tabora.

Tembe hilo, lilikuwa kituo kikuu cha misafara ya watumwa, kutoka mikoa
ya magharibi mwa Tanzania na nchi jirani, wakati makazi ya mtemi
Fundikira ni ya kihistoria kwa utawala wa Unyanyembe, Mkoani Tabora.

Kutokana na hali hiyo, Karsan alitumia fursa hiyo kutoa wito kwa
Wanahabari, kuhakikisha wanashiriki kikamilifu katika kutangaza
makumbusho hayo, ili yafahamike vizuri ndani na nje ya nchi, kwa ajili
ya kujipatia fedha za kigeni.

Licha ya kuzulu tembe na makazi ya mtemi Fundikira, pia waandishi
walitpata fursa ya kutembelea jiwe maarufu alilokuwa akipumzika na
kulala, mtemi Seneki Mwanakiyungi wa kabila la Wanyamwezi na kuacha
alama za makalio na mkuki sehemu hiyo.

Ziara hiyo ilikuwa sehemu ya Mafunzo, kwa uandishi wa njia ya mtandao,
yaliyoandaliwa na UTPC na kushirikisha wanahabari 15, kutoka mikoa ya
Tabora na Singida, yaliyofungwa jana alhamisi, mjini Tabora.
 

story Na Elisante Mkumbo na Victor Kinambile Tabora Alhamisi 26/1/2012 Ili kuweza kuongeza mapato yatokananyo na utalii ,serekali imeombwa kuangalia uwezekano wa kuyafanyia matengenezo na kuya tangaza makumbusho mbalimbali nchini ili kuweza kuwavutia watalii waweze kufika kwa wingi. Hayo yamesemwa na waandishi wa habari wa mikoa ya Singida na Tabora wakati walipotembelea makumbusho ya Tembe la David Livingston na nyumba ya mtemi Fundikira ambayo yapo mkoani Tabora wakiwa katika mafunzo ya siku nne juu ya uandishi wa mtandaao Waandishi hao waligundua kusaulika kwa Tembe ambalo lilitumika kuwahifadhi watumwa kwaajili ya kuwasafirisha kwenda Bwagamoyo ambako walikuwa wakisafirishwa kwa mashuwa kwenda Zanziba hatimaye bara la Asia Tembe hilo mwanzoni lilikandikwa kwa udogo juu ya paa lake na kuonyesha uhalisi ambapo liliwavutia watalii waliofika enzi hizo mpaka Wajerumani waliamua kulinunua kwa Rupia miamoja hamsini na kulihifadhi hadi walipojenga makao ya mkuu Kazahill (Tabora). Kivutio kingine kilicho saulika na Wizara ya maliasi na utalii katika mji wa Tabora ni Jiwe lenye Ngoma, Bao,makalio na nyayo za watu wa kale. Jiwe hilo ambalo lipo kando ya ngome ya mtemi Fundikira ambalo viongozi wengi wa serekali na mkoa wa mkoa wa Tabora wamekuwa wakipita na kuyaona bila kuya fayania matengenezo ambayo yangeweza kuwavutia watalii. Mwisho Matengenezo Na Elisante Mkumbo na Victor Kinambile Tabora Alhamisi 26/1/2012 Ili kuweza kuongeza mapato yatokananyo na utalii ,serekali imeombwa kuangalia uwezekano wa kuyafanyia matengenezo na kuya tangaza makumbusho mbalimbali nchini ili kuweza kuwavutia watalii waweze kufika kwa wingi. Hayo yamesemwa na waandishi wa habari wa mikoa ya Singida na Tabora wakati walipotembelea makumbusho ya Tembe la David Livingston na nyumba ya mtemi Fundikira ambayo yapo mkoani Tabora wakiwa katika mafunzo ya siku nne juu ya uandishi wa mtandaao Waandishi hao waligundua kusaulika kwa Tembe ambalo lilitumika kuwahifadhi watumwa kwaajili ya kuwasafirisha kwenda Bwagamoyo ambako walikuwa wakisafirishwa kwa mashuwa kwenda Zanziba hatimaye bara la Asia Tembe hilo mwanzoni lilikandikwa kwa udogo juu ya paa lake na kuonyesha uhalisi ambapo liliwavutia watalii waliofika enzi hizo mpaka Wajerumani waliamua kulinunua kwa Rupia miamoja hamsini na kulihifadhi hadi walipojenga makao ya mkuu Kazahill (Tabora). Kivutio kingine kilicho saulika na Wizara ya maliasi na utalii katika mji wa Tabora ni Jiwe lenye Ngoma, Bao,makalio na nyayo za watu wa kale. Jiwe hilo ambalo lipo kando ya ngome ya mtemi Fundikira ambalo viongozi wengi wa serekali na mkoa wa mkoa wa Tabora wamekuwa wakipita na kuyaona bila kuya fayania matengenezo ambayo yangeweza kuwavutia watalii. Mwisho makumbusho yalivyosahaulika Tabora

| No comment yet
Hili ndio  tembe lilokuwa likikusanyia watumwa limetekelezwa na sasa alipo kwenye ualisia
Hili si shamba la mpunga la hasha1! hili  ni korongo lilopo karibu  na kaburi la mwandishi wa habari  john show aliyejipiga risasi baabada kuugua 
Na Elisante Mkumbo na Victor Kinambile
Ili kuweza kuongeza mapato yatokananyo na utalii ,serekali imeombwa kuangalia uwezekano wa kuyafanyia matengenezo na kuya tangaza makumbusho mbalimbali nchini ili kuweza kuwavutia watalii waweze kufika kwa wingi.
Hayo yamesemwa na waandishi wa habari wa mikoa ya Singida na Tabora wakati walipotembelea makumbusho ya Tembe la David Livingston na nyumba ya mtemi Fundikira ambayo yapo mkoani Tabora wakiwa katika mafunzo ya siku nne juu ya uandishi wa mtandaao
Waandishi hao waligundua kusaulika kwa Tembe ambalo lilitumika kuwahifadhi watumwa kwaajili ya kuwasafirisha kwenda Bwagamoyo ambako walikuwa wakisafirishwa kwa mashuwa kwenda Zanziba hatimaye bara la Asia
Tembe hilo mwanzoni lilikandikwa kwa udogo juu ya paa lake na kuonyesha uhalisi ambapo liliwavutia watalii waliofika enzi hizo mpaka Wajerumani waliamua kulinunua kwa Rupia miamoja hamsini na kulihifadhi hadi walipojenga makao ya mkuu Kazahill (Tabora).
Kivutio kingine kilicho saulika na Wizara ya maliasi na utalii katika mji wa Tabora ni Jiwe lenye Ngoma, Bao,makalio na nyayo za watu wa kale.
Jiwe hilo ambalo lipo kando ya ngome ya mtemi Fundikira ambalo viongozi wengi wa serekali na mkoa wa mkoa wa Tabora wamekuwa wakipita na kuyaona bila kuya fayania matengenezo ambayo yangeweza kuwavutia watalii.
Mwisho
| 1 comment
BAADHI ya wazee walioshuhudia enzi za utumwa








Na Abby Nkungu/Emmanuel Michael,
Tabora,
Januari 26, 2012,
Makumbusho

MAKUMBUSHO ya taifa mkoani Tabora yanaonekana kutekelezwa na wizara ya Maliasili na Utalii nchini kutokana na kutokuwepo na barabara ya kuaminika na kukosekanaa na mandhaari ya kuvutia.

Waandishi wa habari 12 kutoka mikoa ya Tabora na Singida waliotembelea Makumbusho hayo jana, wameshuhudia ubovu mkubwa wa barabara inayoelekea eneo hilo kiasi cha magari kupata taabu ya kupita.

Aidha mandhari ya eneo hilo haijaboreshwa vya kutosha kulingana na umuhimu wa makumbusho hayo ya taifa ambayo hayana uzio na choo kwa ajili ya wageni wanaotembelea eneo hilo la utalii.


Akizungumza na waandishi wa habari waliopo kwenye mafunzo ya siku nne juu ya uandishi wa mtandao, Mhifadhi msaidizi wa mambo ya kale bw Hamisi Mohamed Kaloka alisema kuwa licha ya ahadi lukuki za wizara kuboresha eneo hilo lakini hakuna kilichofanyika hadi hivi sasa.

Makumbusho hayo ambayo yapo umbali wa kilomita tisa hivi kutoka mjini Tabora barabara ya kuelekea Sikonge, ni muhimu kwa historia ya Tanzania kutokana na eneo hilo kuwa kituo kikuu cha kukusanyia watumwa kabla ya kusafirishwa.

Pamoja na kupumzikia watumwa, pia Mmisionari Dk David Livingstone aliishi katika eneo hilo kabla ya kuondoka kuelekea ujiji Kigoma.

picha mbili

| No comment yet
 Waandishi wa habari kutoka mikoa ya Tabora na Singida wakiangalia kumbukumbu mbalimbali zilizopo kwenye jumba la makumbusho, maarufu kwa jina la 'Tembe la Dk. Livingstone, iliyopo eneo la Kwihara, katika Manispaa ya Tabora.
Mhifadhi mwangalizi msaidizi wa mambo ya kale, bw. Hamis Mohammed Kaloka, akionyesha mfano kwa Mkurugenzi wa muungano wa vilabu vya waandishi wa habari nchiini bw, Abubakar Karsan, jinsi watumwa walivyokuwa wakifungwa minyororo, kabla ya kusafirishwa kwenda sehemu mbali mbali.
| No comment yet
Hivi ndivyo ilivyokuwa wakati wa biashara ya Utumwa mnyororo huo ulitumika kufungwa shingoni mwa mtumwa na kutembea nao masafa marefu hadi katika mji wa Bagamoyo
Jamani tumetoka mbali!!

test xx

| No comment yet
                                              Jitahidi bwana tushinde hali sinzuri

test 3

| No comment yet
wananchi wa mkoani tabora wakiwa katika moja ya sherehe zilizokuwa na ngoma za asili T

Test 3

| No comment yet
Baadhi ya picha zilizopigwa waandishi wa Habari wakiwa mafunzoni mkoani Tabora. tembelea, http//mjengwablog.com

test 03

| No comment yet
Mbunge wa Singida Mjini, Mohammed Dewji, akijumuika na wanafunzi. Tembelea;
                                         Wakulima  katika moja ya vijiji vya Singida wakipalilia Alizeti. tembelea; http://mjengwablog.com

Wanahabari Tabora Na Singida Wako Hewani!

| No comment yet
Watembelee; http://taborasingidapressclubs.blogspot.com

mtaa tabora

| No comment yet
tembelea http.mjengwablog.com

Test 2

| No comment yet
Kutokana na mwendo kasi usiokuwa na tahadhari, mara nyingi huchangia kusababisa ajali za barabarani, kama ambavyo gari hili linaonekana kwenye picha hii iliyopigwa mkoani Tabora. TEMBELEA. http://mjengwablog.com

test2

| No comment yet
waandishi wa habari Vituko Adam Salala na sunday Kabaye wakipata maelezo kutoka kwa mtaalam wa mitambo ya maji  ya tuwasa.
tembelea http//mjengwablog.com

test 2

| No comment yet
Hawa ni baadhi ya washiriki wa mafunzo wakijadili kwa njia ya vikundi. tembelea;http://mjengwablog.com

test1

| No comment yet
nyumnba za mjini tabora zinazoonyesha miji kuwa mkongwe lakini bado zinatumika

test1

| No comment yet
Mwalimu

Test 1

| No comment yet
Waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Singida na Dodoma, wakiwa kwenye vikundi, kwa ajili ya kujadili mada, juu ya uandishi kwa njia ya mtandao.

TEST ONE KAPIPI

| No comment yet
TABORA MJINI.
Baadhi ya nyumba za mjini Tabora zilizojengwa baada ya Uhuru wa Tanganyika.

test 1

| No comment yet
washiriki wa mafunzo wakiwa katika majadiliano ya vikundi.

Focused; Nathaniel Limu, Job Chimwaga, Juma Kapipi Na Thomas Murugwa

| No comment yet
Darasani.

Darasa Hili!

| No comment yet

Mitaa ya Singida Mjini

| No comment yet

Soko la Tabora

| No comment yet