Picha 1
Labels:
bw. Hamis
|
No comment yet
Mhifadhi msaidizi wa makumbusho ya Tembe la Dk. Livingstone lililopo Kwihara katika manispaa ya Tabora bw. Hamis Mohammed Kalok akitoa maelezo kwa waandishi wa habari waliozulu katika makumbusho hayo wakiwa katika mafunzo maalumu ya mtandao-Picha na Simon Kabendera.
Post a Comment